Thursday, September 9, 2010

WABONGO WANAONG'ARA SWEDEN KATIKA MCHEZO WA SOKA.


Watanzania watatu wanaong'ara ndani ya sweden katika mchezo wa soka, na huku waipelekea klabu hiyo wanayochezea kuchukua ubingwa. Tukianza na kaka yao ATHUMAN MACHUPA ambaye ameshika kombe, akifuatiwa na BEKA MLENGE a.k.a CHITOTOO kulia kwake, bila kumsahau YUSUPH FABO akiwa upande wa kulia wa beka mulenge.

KIMBIZA KIMBIZA MWANA.


Star Wa soka kutoka bongo akiwa ndani ya sweden, Pembeni ana mtoto mkali ambaye angukua bado asingeweza kumpata mpaka anakufa endapo angukua bado anacheza soka bongo. Ama kweli mpira mbele na sio bongo. Kla maisha kaka, Big Up YUSUFU FABO.

Wednesday, September 1, 2010

Sebastien Squillaci signs for Arsenal


Arsenal have made their third signing of the summer.

French international defender Sebastien Squillaci has joined the Gunners from Sevilla on a long-term contract for an undisclosed fee.

Below are all the news stories about the latest addition to Arsène Wenger's squad.

Wednesday, April 28, 2010

BAKARI MULENGE, NA MAKALAD FULAN, YESS YES


Yes Yes mwana wakimbize kama kawaida yetu wabongo katika mambo fulani.

BEKA MULENGE, KUSHOTO NA MASELA WAKE.


wANYAMWEZI WAKIWA WANASHUKA NA NGAZI YA LIFTI. NGAZI HII KWA HUKU BONGO HUPATIKANA SEHEMU CHACHE SANA, AIR PORT NA SHOPAZ PLAZA NA MAOTELI YA KIMATAIFA. LAKINI KWA WENZETU NI VITU VYA KAWAIDA SANA.

BEKA MULENGE WA UKWELI, TOKA AZAM FC MPAKA SWEDEN.


Mtoto wa friends Ranger Ndan ya Sweden katika shughuli zake za kimpira. Ama kweli mpira unalipa likini sio bongo. Kaza uzi kaka.

TOKA DAR MPAKA MOSCOW, BIG UP FIDOULAS


Nimekubali kaka, kwa mapenzi ya kweli kwa mtoto. Na pia kumpa historia mtoto wenu kwa kuzaliwa 'UP STEAZ'. Sisi tupo tunalisongesha. Mtaa had mtaa.

Tuesday, March 16, 2010

Parlour - Theo can be 'massive' For Arsenal


Former Gunner says Walcot shouldn't be judged on season so far.The former Arsenal midfielder also even drew similarities between the England international, 21 today, and David Beckham during the peak of his career Walcott has recently re-found his form after receiving criticism for some of his performances while returning from a string of injuries during the first six months of his season.

IFM SKENDO...MISHEMISHE ZINAANZA UPYAAAA.

Kama ninavyoona watoto wamepania, wenye kurudi kusoma wamerudi na wenyekuruda kuja kuuza sura na wamerudi mambo tafrani. Ila sio wote watakaokua na furaha kama mwanzo wa semista.

MISHEMISHE ZINAANZA UPYAAAA.

Friday, February 26, 2010

IMPOSSIBLE MIGTH BE POSSIBLE FOR GUNNERS.


Many of fans of football for Man U, Chelsea and Riverpool belive that, Arsenal is not a competant team so that very difficult to be a FA Champions league.

Football is not an age, i mean "if you are greater than me i wont reach you ever for ever".

MANCHESTER UNITED.


WILL IT BE EASY LIKE THEY THINK, TO TAKE A CARLING CUP ONCE AGAIN?

Monday, February 22, 2010

You neva know why am here!

You neva know why am here! you just wait and you will see.

You neva know why am here

You neva know why am here, but you just wait and u will see.