
Watanzania watatu wanaong'ara ndani ya sweden katika mchezo wa soka, na huku waipelekea klabu hiyo wanayochezea kuchukua ubingwa. Tukianza na kaka yao ATHUMAN MACHUPA ambaye ameshika kombe, akifuatiwa na BEKA MLENGE a.k.a CHITOTOO kulia kwake, bila kumsahau YUSUPH FABO akiwa upande wa kulia wa beka mulenge.





